Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 15:19 - Swahili Revised Union Version

Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

yaani nchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

yaani nchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

yaani nchi za Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mkeni, na Mkenizi, na Mkadmoni,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 15:19
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi,


na Mhiti, na Mperizi, na Mrefai,


nawe ukauona moyo wake kuwa mwaminifu mbele zako, ukafanya agano naye, kumpa nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Myebusi, na Mgirgashi, naam, kuwapa wazao wake; nawe umetimiza ahadi yako kwani u mwenye haki.


Nami nitapeleka mavu mbele yako, watakaomfukuza Mhivi, na Mkanaani, na Mhiti, watoke mbele yako.


Nami nimesema, Nitawapandisha kutoka katika mateso ya Misri na kuwaingiza katika nchi ya Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, nchi ijaayo maziwa na asali.


nami nimeshuka ili niwaokoe kutoka kwa mikono ya Wamisri, niwapandishe kutoka nchi ile, hadi nchi njema, kisha pana; nchi itiririkayo maziwa na asali; hata mahali pa Mkanaani, na Mhiti, na Mwamori, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi.


Nanyi mliuvuka Yordani, mkafika Yeriko; nao watu wa Yeriko wakapigana nanyi, Mwamori, na Mperizi, na Mkanaani, na Mhiti, na Mgirgashi, na Mhivi, na Myebusi; nami nikawatia mikononi mwenu.


Sauli akawaambia Wakeni, Haya! Nendeni zenu, mkashuke ili kujitenga na Waamaleki, nisije nikawaangamiza ninyi pamoja nao; maana mliwatendea wana wa Israeli mema, walipopanda kutoka Misri. Basi hao Wakeni wakaondoka, wakajitenga na Waamaleki.