Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 11:24 - Swahili Revised Union Version

Nahori akaishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nahori alipokuwa na umri wa miaka 29, alimzaa Tera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nahori alipokuwa na umri wa miaka 29, alimzaa Tera.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nahori alipokuwa na umri wa miaka 29, alimzaa Tera.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nahori alipokuwa ameishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nahori alipokuwa na miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nahori akaishi miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 11:24
5 Marejeleo ya Msalaba  

Serugi akaishi baada ya kumzaa Nahori miaka mia mbili, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Nahori akaishi baada ya kumzaa Tera miaka mia moja na kumi na tisa, akazaa wana, wa kiume na wa kike.


Na hii ndiyo hesabu yake; sinia za dhahabu thelathini, sinia za fedha elfu moja, visu ishirini na tisa;


wa Yakobo, wa Isaka, wa Abrahamu, wa Tera, wa Nahori,


Yoshua akawaambia watu wote, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Baba zenu hapo zamani walikaa ng'ambo ya Mto, maana Tera, baba yake Abrahamu na Nahori; waliitumikia miungu mingine.