Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:31 - Swahili Revised Union Version

Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hao ndio wazawa wa Shemu, kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hao ndio wazawa wa Shemu, kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hao ndio wazawa wa Shemu, kadiri ya makabila yao, lugha zao, nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hao ndio wana wa Shemu, kufuata jamaa zao, na lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hao ndio wana wa Hamu, kufuata jamaa zao, kwa lugha zao, katika nchi zao, kufuata mataifa yao.


Makao yao yalikuwa kutoka Mesha kwa njia ya Sefari, mlima wa mashariki.


Hizo ndizo jamaa za wana wa Nuhu, kufuata vizazi vyao, katika mataifa yao; na kwa hao mataifa yaligawanyika katika nchi baada ya gharika.


Kwa hao nchi za pwani za mataifa ziligawanyikana kuwa nchi zao, kila moja kwa lugha yake, kwa jamaa zao, kufuata mataifa yao.


Naye alifanya kila taifa la wanadamu kutoka katika mmoja, wakae juu ya uso wa nchi yote, akiisha kuwawekea nyakati alizoziamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;