Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:33 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana ukisukasuka maziwa utapata siagi, ukimpiga mtu pua atatoka damu; kadhalika kuchochea hasira huleta ugomvi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana ukisukasuka maziwa utapata siagi, ukimpiga mtu pua atatoka damu; kadhalika kuchochea hasira huleta ugomvi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana ukisukasuka maziwa utapata siagi, ukimpiga mtu pua atatoka damu; kadhalika kuchochea hasira huleta ugomvi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi, na pia kule kufinya pua hutoa damu, kadhalika kuchochea hasira huleta ugomvi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi, na pia kule kufinya pua hutoa damu, kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana kupiga maziwa huleta siagi; Na kupiga pua hutokeza damu; kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akatwaa siagi na maziwa, na ndama aliyoiandaa, akawaandalia mbele yao, akasimama karibu nao chini ya mti, nao wakala.


Kuchukiana huleta fitina; Bali kupendana husitiri makosa yote.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Bali asiye mwepesi wa hasira hutuliza mashindano.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Mwanzo wa ugomvi ni kama kutoboa penye maji; Basi acheni ugomvi kabla haujafurika.


Kama makaa juu ya makaa yanayowaka, Na kama kuni juu ya moto; Ndivyo mtu mgomvi achocheavyo uadui.


Mwenye nafsi ya kutamani huchochea fitina; Bali amtumainiye BWANA ataneemeshwa.


Mtu wa hasira huchochea ugomvi; Na mtu mwenye ghadhabu huasi sana.


Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.