Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 30:28 - Swahili Revised Union Version

Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mjusi: Waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mjusi: Waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mjusi: waweza kumshika mkononi, lakini huingia katika ikulu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya wafalme.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono, hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mjusi hushika kwa mikono yake; Lakini yumo majumbani mwa wafalme.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 30:28
3 Marejeleo ya Msalaba  

Nzige hawana mfalme; Lakini huenda wote pamoja vikosi vikosi.


Kuna watatu wenye mwendo wa kupendeza, Naam, wanne walio na mwendo mzuri.


Miongoni mwa viumbe watambaao juu ya nchi, hawa ni najisi kwenu; kicheche, panya na mjombakaka kwa aina zake,