Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 7:20 - Swahili Revised Union Version

Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo, mtawatambua kwa matendo yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 7:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake kuwa mazuri; au ufanyeni mti kuwa mbaya na matunda yake mabaya, kwa maana kwa matunda yake mti hutambulikana.


Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?


kwa kuwa kila mti hutambulikana kwa matunda yake; maana, katika miiba hawachumi tini, wala katika michongoma hawachumi zabibu.


Basi sasa nawaambia, Jiepusheni na watu hawa, waacheni; kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa,


Ndugu zangu, Je! Mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Kadhalika chemchemi haiwezi kutoa maji ya chumvi na maji matamu.