Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 7:19 - Swahili Revised Union Version

Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kila mti usiozaa matunda mazuri utakatwa na kutupwa motoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 7:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


Akapaza sauti yake, akasema, Ukateni mti huu, yafyekeni matawi yake, yapukusieni mbali majani yake, na kuyatawanya matunda yake, wanyama na waondoke hapo chini yake, na ndege katika matawi yake.


Na shoka limekwisha kuwekwa penye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.


Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri.


Na sasa hivi shoka limekwisha kuwekwa kwenye mashina ya miti; basi kila mti usiozaa matunda mazuri hukatwa na kutupwa motoni.


Watu wetu nao wajifunze kudumu katika matendo mema, kwa matumizi yaliyo lazima, ili wasiwe hawana matunda.


bali ikitoa miiba na magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake ni kuteketezwa.


Watu hawa ni miamba yenye hatari katika karamu zenu za upendo walapo karamu pamoja nanyi, wakijilisha pasipo hofu; ni mawingu yasiyo na maji, yachukuliwayo na upepo; ni miti iliyopukutika, isiyo na matunda, iliyokufa mara mbili, na kung'olewa kabisa;