Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:60 - Swahili Revised Union Version

wasiuone ingawa walitokea mashahidi wa uongo wengi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini hawakupata ushahidi wowote, ingawa walikuja mashahidi wengi wa uongo. Mwishowe wakaja mashahidi wawili,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini hawakupata jambo lolote, ingawa mashahidi wengi wa uongo walijitokeza. Hatimaye wakajitokeza mashahidi wawili wa uongo

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini hawakupata jambo lolote, ingawa mashahidi wengi wa uongo walijitokeza. Hatimaye wakajitokeza mashahidi wawili wa uongo

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wasiuone ingawa walitokea mashahidi wa uongo wengi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:60
7 Marejeleo ya Msalaba  

Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi.


Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.


Shahidi mmoja asimwinukie mtu awaye yote kumshuhudia kwa uovu wowote, wala kwa dhambi yoyote, katika makosa akosayo yoyote; jambo na lithibitishwe kwa vinywa vya mashahidi wawili, au watatu.


na maneno yafaayo yasiyoweza kuhukumiwa makosa, ili yule mwenye kupinga atahayarike, kwa kuwa hana neno baya la kunena juu yetu.


Nanyi muwe na dhamiri njema, ili katika neno lile mnalosingiziwa, watahayarishwe wale wautukanao mwenendo wenu mwema katika Kristo.