Mathayo 25:3 - Swahili Revised Union Version Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta. Biblia Habari Njema - BHND Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Wale wapumbavu walichukua taa zao, lakini hawakuchukua akiba ya mafuta. Neno: Bibilia Takatifu Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba, Neno: Maandiko Matakatifu Wale wapumbavu walichukua taa zao lakini hawakuchukua mafuta ya akiba, BIBLIA KISWAHILI Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao; |
Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu.
Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.
mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.
Na kwa malaika wa kanisa lililoko Sardi andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na hizo Roho saba za Mungu, na zile nyota saba. Nayajua matendo yako, ya kuwa una jina la kuwa hai, nawe umekufa.