Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:25 - Swahili Revised Union Version

basi nikaogopa, nikaenda nikaificha talanta yako katika ardhi; tazama, unayo iliyo yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliogopa, nikaificha fedha yako katika ardhi. Chukua basi mali yako.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali yako.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo niliogopa, nikaenda, nikaificha talanta yako ardhini. Tazama, hii hapa ile iliyo mali yako.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

basi nikaogopa, nikaenda nikaificha talanta yako katika ardhi; tazama, unayo iliyo yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mvivu husema, Simba yuko njiani, Simba yuko katika njia kuu.


Tena ni nani uliyemwogopa na kumhofu, hata ukasema uongo, wala hukunikumbuka mimi, wala kuweka hayo moyoni? Je! Mimi sikunyamaza tangu zamani, hata huniogopi?


Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nilitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;


Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;


Kwa kuwa hamkupokea tena roho wa utumwa iletayo hofu; bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambayo kwa hiyo twalia, Aba, yaani, Baba.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, na hao waabuduo sanamu, na waongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndiyo mauti ya pili.