Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 25:11 - Swahili Revised Union Version

Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadaye wale wasichana wengine wakaja, wakaita: ‘Bwana, Bwana, tufungulie!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Baadaye wale wanawali wengine nao wakaja, wakaita, ‘Bwana! Bwana! Tufungulie mlango!’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Halafu wakaja na wale wanawali wengine, wakasema, Bwana, Bwana, utufungulie.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 25:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.


Akajibu akasema, Amin, nawaambia, siwajui ninyi.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;