Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:50 - Swahili Revised Union Version

bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyotazamia, na saa asiyojua,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

bwana wake atakuja siku asiyoitazamia na saa asiyoijua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyotazamia, na saa asiyojua,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:50
7 Marejeleo ya Msalaba  

Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafla, wala hapati dawa.


akaanza kuwapiga watumwa wenzake, na kula na kunywa pamoja na walevi;


atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wanafiki; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyojua, atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wasioamini.


Basi kumbuka jinsi ulivyopokea, na jinsi ulivyosikia; yashike hayo na kutubu. Lakini usipokesha, nitakuja kama mwizi, wala hutaijua saa nitakayokuja kwako.