Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:16 - Swahili Revised Union Version

ndipo walio katika Yudea na wakimbilie milimani;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

hapo, walioko Yudea na wakimbilie milimani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

basi wale walio Yudea wakimbilie milimani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ndipo walio katika Yudea na wakimbilie milimani;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:16
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


Na hii ndiyo itakayokuwa ishara kwenu, asema BWANA, kwamba mimi nitawaadhibu ninyi mahali hapa, mpate kujua ya kuwa maneno yangu yatasimama juu yenu, kuwaletea mabaya bila shaka;


Kimbieni mpate kuwa salama, enyi wana wa Benyamini; tokeni katika Yerusalemu, pigeni tarumbeta katika Tekoa, simamisheni ishara juu ya Beth-hakeremu; kwa maana mabaya yanachungulia toka kaskazini, na uharibifu mkuu.


Yesu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi zamani za mfalme Herode, tazama, majusi wa mashariki walifika Yerusalemu, wakisema,


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani mwake;


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.