Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 21:14 - Swahili Revised Union Version

Na vipofu na viwete wakamwendea mle hekaluni, akawaponya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Vipofu na vilema wengine walimwendea huko hekaluni, naye Yesu akawaponya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Vipofu na vilema wakamwendea kule Hekaluni, naye akawaponya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na vipofu na viwete wakamwendea mle hekaluni, akawaponya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 21:14
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


Lakini wakuu wa makuhani na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto waliopaza sauti zao hekaluni, wakisema, Hosana, Mwana wa Daudi! Walikasirika,


Naye alikuwa akizunguka katika Galilaya yote, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya kila ugonjwa na maradhi ya kila namna waliyokuwa nayo watu.


Naye Yesu alikuwa akizunguka katika miji yote na vijiji, akifundisha katika masinagogi yao, na kuihubiri Habari Njema ya ufalme, na kuponya magonjwa yote na udhaifu wa kila aina.


habari za Yesu wa Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa Roho Mtakatifu na nguvu naye akazunguka huku na huko, akitenda kazi njema na kuponya wote walioonewa na Ibilisi; kwa maana Mungu alikuwa pamoja naye.