Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 2:10 - Swahili Revised Union Version

Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipoiona hiyo nyota, walifurahi mno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipoiona ile nyota wakajawa na furaha kubwa mno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipoiona ile nyota, walifurahi furaha kubwa mno.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 2:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao BWANA.


Mataifa na washangilie, Naam, waimbe kwa furaha, Maana kwa haki utawahukumu watu, Na kuwaongoza mataifa walioko duniani.


Wakaingia nyumbani, wakamwona mtoto pamoja na Mariamu mamaye, wakaanguka wakamsujudia; nao walipokwisha kufungua hazina zao, wakamtolea tunu; dhahabu, uvumba na manemane.


Nao waliposikia maneno ya mfalme, walishika njia; na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia, mpaka iliposimama juu ya mahali alipokuwapo mtoto.


Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote;


Wale wachungaji wakarudi, huku wanamtukuza Mungu na kumsifu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona, kama walivyoambiwa.


Alimpandisha mahali pa nchi palipoinuka, Naye akala mazao ya mashamba; Akamnyonyesha asali iliyotoka jabalini, Na mafuta yaliyotoka katika mwamba wa gumegume;