Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 15:41 - Swahili Revised Union Version

Akapita katika Shamu na Kilikia akiyaimarisha makanisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia, akiyaimarisha makanisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia, akiyaimarisha makanisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika safari hiyo alipitia Siria na Kilikia, akiyaimarisha makanisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akapitia Siria na Kilikia, akiimarisha makundi ya waumini ya huko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akapitia Shamu na Kilikia, akiyaimarisha makundi ya waumini ya huko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapita katika Shamu na Kilikia akiyaimarisha makanisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 15:41
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Mitume na ndugu wazee, kwa ndugu zetu walioko Antiokia na Shamu na Kilikia, walio wa Mataifa; Salamu.


Tena Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe ni manabii, wakawausia ndugu kwa maneno mengi, wakawathibitisha.


Baada ya hayo Paulo akazidi kukaa huko siku nyingi, kisha akaagana na ndugu akaabiri kwenda Shamu; na Priskila na Akila wakaenda pamoja naye, alipokwisha kunyoa kichwa chake huko Kenkrea; maana alikuwa ana nadhiri.


Na tulipoona Kipro tukaiacha upande wa kushoto; tukasafiri mpaka Shamu tukashuka Tiro. Kwa maana huko ndiko merikebu yetu itakakoshusha shehena yake.


Lakini baadhi ya watu wa sinagogi lililoitwa sinagogi la Mahuru, na la Wakirene, na la Waiskanderia, na la wale wa Kilikia na Asia, wakaondoka na kujadiliana na Stefano;


Baadaye nilikwenda pande za Shamu na Kilikia.