Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 12:13 - Swahili Revised Union Version

Naye alipobisha kilango cha lango, kijakazi, jina lake Roda, akaja kusikiliza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro alipiga hodi kwenye mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro alipiga hodi kwenye mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro alipiga hodi kwenye mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mjakazi aliyeitwa Roda akaja kumfungulia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro alipobisha hodi kwenye lango la nje, mtumishi wa kike jina lake Roda, akaja kumfungulia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alipobisha kilango cha lango, kijakazi, jina lake Roda, akaja kusikiliza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 12:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipotoka nje hadi ukumbini, mwanamke mwingine alimwona, akawaambia watu waliokuwako huko, Huyu alikuwapo pamoja na Yesu Mnazareti.


Wakati mwenye nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;


Petro akafululiza kugonga, hadi walipokwisha kumfungulia wakamwona, wakastaajabu.