Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 11:3 - Swahili Revised Union Version

wakisema, Uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wakisema, “Ulienda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wakisema, Uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 11:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mafarisayo walipoona, waliwaambia wanafunzi wake, Mbona mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?


Mafarisayo na waandishi wakanung'unika, wakisema, Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao.


Kisha wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa mpaka Praitorio, nayo ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya ile Praitorio, wasije wakanajisika, bali wapate kuila Pasaka.


Akawakaribisha wawe wageni wake. Hata siku ya pili, Petro akaondoka akatoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu waliokaa Yafa wakafuatana naye.


Akawaambia, Ninyi mnajua ya kuwa si halali kwa mtu aliye Myahudi ashirikiane na mtu wa taifa lingine wala kumtembelea, lakini Mungu amenionya, nisimwite mtu yeyote mchafu wala najisi.


Basi, tuma watu kwenda Yafa, ukamwite Simoni aitwaye Petro, anakaa katika nyumba ya Simoni, mtengenezaji wa ngozi, karibu na pwani; naye akija atasema nawe.


Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadhaa.


Lakini, mambo yalivyo, niliwaandikia kwamba msichangamane na mtu aitwaye ndugu, akiwa ni mzinzi au mwenye kutamani au mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnyang'anyi; mtu wa namna hii msikubali hata kula naye.


Kwa maana kabla hawajaja watu kadhaa waliotoka kwa Yakobo, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa; lakini hao walipokuja, akarudi nyuma akajitenga, huku akiwaogopa waliotahiriwa.


Mtu akija kwenu, naye haleti mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani mwenu, wala msimpe salamu.