Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 9:48 - Swahili Revised Union Version

ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Humo wadudu wake hawafi, na huo moto hauzimiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Humo wadudu wake hawafi, na huo moto hauzimiki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Humo wadudu wake hawafi, na huo moto hauzimiki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni mahali ambako funza wao hawafi, wala moto wao hauzimiki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

mahali ambako “ ‘funza wake hawafi, wala moto wake hauzimiki.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

ambamo humo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 9:48
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao watatoka nje na kuitazama mizoga ya watu walioniasi; maana funza wao hatakufa, wala moto wao hautazimika nao watakuwa chukizo machoni pa wote wenye mwili.


Jitahirini kwa BWANA, mkayaondoe magovi ya mioyo yenu, enyi watu wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu; ghadhabu yangu isije ikatoka kama moto, ikawaka hata mtu asiweze kuizima, kwa sababu ya uovu wa matendo yenu.


Kisha atawaambia na wale walioko katika mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, mwende katika moto wa milele, aliowekewa tayari Ibilisi na malaika zake;


Ambaye pepeto lake li mkononi mwake, naye atausafisha sana uwanda wake; na kuikusanya ngano yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Kwa sababu kila mtu atatiwa chumvi kwa moto.


ambaye ungo wake uko mkononi mwake, naye atausafisha sana uwanja wake wa kupuria, na kuikusanya ngano ghalani mwake, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.