Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:56 - Swahili Revised Union Version

Kwa maana wengi walimshuhudia uongo, lakini ushuhuda wao haukupatana.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengi walitoa ushahidi wa uongo juu ya Yesu, lakini ushahidi wao haukupatana.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wengi walitoa ushahidi wa uongo dhidi yake, lakini maelezo yao hayakukubaliana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana wengi walimshuhudia uongo, lakini ushuhuda wao haukupatana.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:56
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na hao watu wawili, watu wasiofaa, wakaingia, wakaketi mbele yake; wale watu wasiofaa wakamshuhudia Nabothi mbele ya watu, wakasema, Nabothi amemtukana Mungu na mfalme. Ndipo wakamchukua nje ya mji, wakampiga kwa mawe hata akafa.


Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda juu ya Yesu wapate kumwua; wasione.


Hata wengine wakasimama, wakamshuhudia uongo, wakisema,


Kwa maana wako watatu washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja.