Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:50 - Swahili Revised Union Version

Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka juu, akamwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka juu, akamwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akatupilia mbali vazi lake, akaruka juu, akamwendea Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akiwa analivua lile joho lake, alisimama na kumwendea Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akiwa analivua lile joho lake, alisimama na kumwendea Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatupa vazi lake, akaruka, akamwendea Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:50
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya, aliona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea nduguye, wakitupa jarife baharini; kwa maana walikuwa wavuvi.


Yesu akasimama akasema, Mwiteni. Wakamwita yule kipofu, wakamwambia, Jipe moyo; inuka, anakuita.


Yesu akamjibu, akamwambia, Wataka nikufanyie nini? Yule kipofu akamwambia, Mwalimu wangu, nataka nipate kuona.


Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa la mashahidi namna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa subira katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu,