Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 1:37 - Swahili Revised Union Version

nao walipomwona wakamwambia, Watu wote wanakutafuta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nao walipomwona, wakapaza sauti, wakasema, “Kila mtu anakutafuta!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nao walipomwona, wakamwambia, “Kila mtu anakutafuta!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao walipomwona wakamwambia, Watu wote wanakutafuta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 1:37
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nayo ikavunjwa siku ile; na hivyo wale kondoo wanyonge walionisikiliza wakajua ya kuwa neno hili ndilo neno la BWANA.


Simoni na wenziwe wakamfuata;


Akawaambia, Twendeni mahali pengine, katika vijiji vilivyo karibu, nipate kuhubiri huko nako; maana nilikuja kwa ajili ya hilo.


Wakamwendea nchi yote ya Yudea, nao wa Yerusalemu wote, wakabatizwa katika mto wa Yordani, wakiziungama dhambi zao.


Tukimwacha hivi, watu wote watamwamini; na Warumi watakuja, watatuondolea mahali petu na taifa letu.


Basi Mafarisayo wakasemezana wao kwa wao, Mwaona kwamba hamfai neno lolote; tazameni, ulimwengu umekwenda nyuma yake.


Wakamwendea Yohana, wakamwambia, Rabi, yeye aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani, yeye uliyemshuhudia, tazama, huyo anabatiza na watu wote wanamwendea.