Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 19:33 - Swahili Revised Union Version

Na walipokuwa wakimfungua mwanapunda, wenyewe waliwaambia, Mbona mnamfungua mwanapunda?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Walipokuwa wanamfungua yule mwanapunda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwanapunda huyu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Walipokuwa wanamfungua yule mwanapunda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwanapunda huyu?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Walipokuwa wanamfungua yule mwanapunda, wenyewe wakawauliza, “Kwa nini mnamfungua mwanapunda huyu?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokuwa wanamfungua yule mwana-punda, wenyewe wakawauliza, “Mbona mnamfungua huyo mwana-punda?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na walipokuwa wakimfungua mwanapunda, wenyewe waliwaambia, Mbona mnamfungua mwanapunda?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 19:33
2 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale waliotumwa wakaenda wakaona kama alivyowaambia.


Wakasema, Bwana anamhitaji.