Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 18:41 - Swahili Revised Union Version

Unataka nikufanyie nini? Akasema, Bwana, nipate kuona.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana, nataka kuona.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana Isa, nataka kuona.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Unataka nikufanyie nini? Akasema, Bwana, nipate kuona.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 18:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akasimama, akaamuru aletwe kwake; na alipomkaribia, alimwuliza,


Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.


Bali tukikitumainia kitu tusichokiona, twakingojea kwa subira.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.