Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:9 - Swahili Revised Union Version

nao ukizaa matunda baadaye, vema! La, usipozaa, ndipo uukate.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vema; la sivyo, basi utaweza kuukata.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nao ukizaa matunda mwaka ujao, vyema! La sivyo, uukate.’ ”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ukizaa matunda mwaka ujao, vyema, la sivyo uukate.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

nao ukizaa matunda baadaye, vema! La, usipozaa, ndipo uukate.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya sabato alikuwa akifundisha katika sinagogi mojawapo.


Akajibu akamwambia, Bwana, uuache mwaka huu nao, hata niupalilie, niutilie samadi;


Kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na kila tawi lizaalo hulisafisha, ili lizidi kuzaa.


ambao walimwua Bwana Yesu, na hao manabii, na kutuudhi sisi; wala hawampendezi Mungu, wala hawapatani na watu wowote;


bali ikitoa miiba na magugu hukataliwa na kuwa karibu na laana; ambayo mwisho wake ni kuteketezwa.