Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 13:5 - Swahili Revised Union Version

Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nawaambieni sivyo; lakini nanyi msipotubu, mtaangamia kama wao.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nawaambia, la hasha! Ninyi nanyi msipotubu, wote mtaangamia vivyo hivyo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 13:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nitawahukumu ninyi, nyumba ya Israeli, kila mmoja kwa kadiri ya njia zake, asema Bwana MUNGU. Rudini, mkaghairi, na kuyaacha makosa yenu yote; basi hivyo uovu wenu hautakuwa uharibifu wenu.


Nawaambia, Sivyo; lakini msipotubu, ninyi nyote mtaangamia vivyo hivyo.


Au wale kumi na wanane, walioangukiwa na mnara huko Siloamu, ukawaua, mwadhani ya kwamba wao walikuwa wakosaji kuliko watu wote waliokaa Yerusalemu?


Akanena mfano huu; Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu; akaenda akitafuta matunda juu yake, asipate.