Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 12:16 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawaambia mfano: “Kulikuwa na tajiri mmoja ambaye shamba lake lilizaa mavuno mengi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha akawaambia mfano huu: “Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilikuwa limezaa sana;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 12:16
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hema za wanyang'anyi hufanikiwa, Na hao wamkasirishao Mungu hukaa salama; Mikononi mwao Mungu huleta vitu vingi.


Huwapa usalama, nao wapumzika kwao; Na macho yake yako juu ya njia zao.


Fahamu, ndivyo walivyo wasio haki, Na kwa kustarehe sikuzote wamepata mali nyingi.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Tazama, uovu wa dada yako, Sodoma, ulikuwa huu; kiburi, na kushiba chakula, na kufanikiwa, hayo yalikuwa ndani yake na binti zake; lakini hukuwasaidia maskini na wahitaji.


Maana hakujua ya kuwa mimi ndiye niliyempa ngano, na divai, na mafuta, na kumwongezea fedha na dhahabu, walivyovitumia kwa ajili ya Baali.


nyingine zikaanguka penye udongo mzuri, zikazaa, moja mia, moja sitini, moja thelathini.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Akawaambia, Angalieni, jilindeni na choyo, maana uzima wa mtu haumo katika wingi wa vitu vyake alivyo navyo.


akaanza kuwaza moyoni mwake, akisema, Nifanyeje? Maana sina pa kuyaweka akiba mavuno yangu.


Lakini hakujiacha pasipo ushuhuda, kwa kuwa alitenda mema, akiwapeni mvua kutoka mbinguni, na nyakati za mavuno, akiwashibisha mioyo yenu chakula na furaha.