Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:6 - Swahili Revised Union Version

kwa sababu rafiki yangu amefika kwangu, atoka safarini, nami sina kitu cha kuweka mbele yake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa kuwa rafiki yangu amepitia kwangu akiwa safarini nami sina cha kumpa.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu rafiki yangu amekuja kutoka safarini, nami sina kitu cha kumpa ale.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu rafiki yangu amekuja kutoka safarini, nami sina kitu cha kumpa.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa sababu rafiki yangu amefika kwangu, atoka safarini, nami sina kitu cha kuweka mbele yake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:6
2 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Ni nani kwenu aliye na rafiki, akamwendea usiku wa manane, na kumwambia, Rafiki yangu, nikopeshe mikate mitatu,


na yule wa ndani amjibu akisema, Usinisumbue; mlango umekwisha fungwa, nasi tumelala kitandani mimi na watoto wangu; siwezi kutoka nikupe?