Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:25 - Swahili Revised Union Version

Nitairudia nyumba yangu niliyotoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anaporudi, huikuta ile nyumba imefagiwa na kupambwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye anaporudi na kuikuta ile nyumba imefagiwa na kupangwa vizuri,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye arudipo na kuikuta ile nyumba imefagiliwa na kupangwa vizuri,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitairudia nyumba yangu niliyotoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bali wao wanaozigeukia njia zao zilizopotoka, BWANA atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani ikae na Israeli.


Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.


Pepo mchafu amtokapo mtu, hupitia mahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika; asipoona, husema,


Hata afikapo, akaiona imefagiwa na kupambwa, ndipo huenda akachukua pepo wengine saba, walio waovu kuliko yeye mwenyewe, wakaingia na kukaa humo; na mtu yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza.