Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 11:12 - Swahili Revised Union Version

Au akimwomba yai, atampa nge?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na kama akimwomba yai, je, atampa nge?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na kama akimwomba yai, je, atampa nge?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na kama akimwomba yai, je, atampa nge?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Au mtoto akimwomba yai atampa nge?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Au mtoto akimwomba yai atampa nge?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Au akimwomba yai, atampa nge?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 11:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na wewe, mwanadamu, usiwaogope hao, wala usiyaogope maneno yao, ijapokuwa miiba na michongoma inakuzunguka, nawe unakaa katikati ya nge; usiyaogope maneno yao, wala usifadhaike kwa sababu ya nyuso zao, wajapokuwa ni nyumba yenye kuasi.


Tazama, nimewapa amri ya kukanyaga nyoka na nge, na nguvu zote za yule adui, wala hakuna kitu kitakachowadhuru.


Maana ni yupi kwenu aliye baba, ambaye mwanawe akimwomba mkate, atampa jiwe au akimwomba samaki, badala ya samaki atampa nyoka?


Basi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, je! Baba aliye mbinguni hatazidi sana kuwapa Roho Mtakatifu hao wamwombao?


Nao wana mikia kama ya nge, na miiba; na nguvu yao ya kuwadhuru wanadamu miezi mitano ilikuwa katika mikia yao.