Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Kutoka 26:3 - Swahili Revised Union Version

Mapazia matano yataungwa pamoja, hili na hili; na mapazia matano mengine yataungwa pamoja, hili na hili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utaunganisha mapazia matano yawe kipande kimoja na mapazia mengine matano yawe kipande cha pili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unganisha mapazia matano pamoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mapazia matano yataungwa pamoja, hili na hili; na mapazia matano mengine yataungwa pamoja, hili na hili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Kutoka 26:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Urefu wa kila pazia utakuwa dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia utakuwa dhiraa nne; mapazia yote yatakuwa ya kipimo kimoja.


Kisha utafanya tanzi za rangi ya samawati upande wa mwisho wa pazia moja katika ule upindo wa fungu lake, vivyo hivyo utafanya upande wa mwisho wa ile pazia iliyo, katika fungu la pili.


Kisha utaunganisha mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali, na lile pazia la sita utalikunja hapo upande wa mbele wa ile hema.


Naye akaunganisha mapazia matano hili na hili; na mapazia matano mengine akayaunganisha hili na hili.


Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.


Basi kuna karama tofauti; bali Roho ni yeye yule.


Katika yeye mwili wote ukiungamanishwa na kushikanishwa kwa msaada wa kila kiungo, kwa kadiri ya utendaji wa kila sehemu moja moja, huukuza mwili upate kujijenga wenyewe katika upendo.


wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukineemeshwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kama atakavyo Mungu.


ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo;