Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 7:10 - Swahili Revised Union Version

Tena BWANA akasema na Ahazi akinena,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena Mwenyezi-Mungu akamwambia Ahazi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena Mwenyezi-Mungu akamwambia Ahazi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena Mwenyezi-Mungu akamwambia Ahazi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akasema na Ahazi tena,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akasema na Ahazi tena,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena BWANA akasema na Ahazi akinena,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 7:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa kumi na saba wa Peka mwana wa Remalia Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda alianza kutawala.


Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni chukizo kwangu; mwezi mwandamo na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo na makutano ya ibada.


Mbona mnataka kupigwa, hata sasa, hata mkazidi kuasi? Kichwa chote ni kigonjwa, moyo wote umezimia.


Tena itakuwa katika siku hiyo mabaki ya Israeli, na hao waliopona wa nyumba ya Yakobo, hawatamtegemea tena yeye aliyewapiga, bali watamtegemea BWANA, Mtakatifu wa Israeli, kwa kweli.


Jitakie ishara ya BWANA, Mungu wako; itake katika mahali palipo chini sana, au katika mahali palipo juu sana.


tena kichwa cha Efraimu ni Samaria, na kichwa cha Samaria ni mwana wa Remalia. Ikiwa hamtasimama imara katika imani, hamtathibitika kamwe.


Kisha BWANA akasema nami mara ya pili, akaniambia,


Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama.