Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 56:2 - Swahili Revised Union Version

Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikaye sana; azishikaye sabato asizivunje, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Heri mtu anayezingatia kikamilifu ninayosema, anayeshika sheria ya Sabato kwa heshima na kuepa kutenda uovu wowote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Heri mtu anayezingatia kikamilifu ninayosema, anayeshika sheria ya Sabato kwa heshima na kuepa kutenda uovu wowote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Heri mtu anayezingatia kikamilifu ninayosema, anayeshika sheria ya Sabato kwa heshima na kuepa kutenda uovu wowote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amebarikiwa mtu yule atendaye hili, mtu yule alishikaye kwa uthabiti, yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amebarikiwa mtu yule atendaye hili, mtu yule alishikaye kwa uthabiti, yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Heri afanyaye haya, na mwanadamu ayashikaye sana; azishikaye sabato asizivunje, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 56:2
31 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo nikagombana na wakuu wa Yuda, nikawaambia, Ni neno baya gani hili mnalofanya ninyi, na kuinajisi siku ya sabato?


Heri washikao hukumu, Na kutenda haki sikuzote.


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Nimeiepusha miguu yangu na kila njia mbaya, Ili nilitii neno lako.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Uache mabaya ukatende mema, Utafute amani ukaifuatie.


Jiepushe na uovu, utende mema, Na kukaa hata milele.


lakini siku ya saba ni Sabato ya BWANA, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yoyote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.


Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.


Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.


Njia kuu ya mwenye haki ni kujitenga na uovu; Yeye ashikaye njia yake huihifadhi nafsi yake.


Kwa rehema na kweli uovu husafishwa; Kwa kumcha BWANA watu hujiepusha na maovu.


Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.


Usigeuke kwa kulia wala kwa kushoto; Ondoa mguu wako maovuni.


Ni vizuri kwamba ulishike neno hilo; naam, hata kwa neno hilo tena usiuondoe mkono wako; kwa kuwa mtu yule amchaye Mungu atatoka katika hayo yote.


Kwa maana BWANA awaambia hivi matowashi, wanaozishika sabato zangu, na kuyachagua mambo yanipendezayo, na kulishika sana agano langu;


Na wageni, walioandamana na BWANA ili wamhudumu, na kulipenda jina la BWANA, kuwa watumishi wake; kila aishikaye sabato asiivunje, na kulishika sana agano langu;


Kama ukigeuza mguu wako usiivunje sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya BWANA yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe;


Tena niliwapa sabato zangu, ziwe ishara kati ya mimi na wao, wapate kujua ya kuwa mimi, BWANA, ndimi niwatakasaye.


zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua ya kuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Zishikeni Sabato zangu, mpaheshimu patakatifu pangu; mimi ndimi BWANA.


Lakini yeye alisema, Afadhali, heri walisikiao neno la Mungu na kulishika.


Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.


Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Pendo na lisiwe na unafiki lichukieni lililo ovu, mkilishika lililo jema.


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.