Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Isaya 43:18 - Swahili Revised Union Version

Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

‘Msiyanganganie mambo yaliyopita, wala msifikirie vitu vya zamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

‘Msiyanganganie mambo yaliyopita, wala msifikirie vitu vya zamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

‘Msiyang'ang'anie mambo yaliyopita, wala msifikirie vitu vya zamani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Msiyakumbuke mambo yaliyopita, wala msiyatafakari mambo ya zamani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Msiyakumbuke mambo yaliyopita, wala msiyatafakari mambo ya zamani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msiyakumbuke mambo ya kwanza, wala msiyatafakari mambo ya zamani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Isaya 43:18
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yakumbukeni matendo yake yote ya ajabu aliyoyafanya; Miujiza yake na hukumu za kinywa chake;


kumbukeni mambo ya zamani za kale; maana mimi ni Mungu, wala hapana mwingine; mimi ni Mungu, wala hapana aliye kama mimi;


Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.


Maana hata ile iliyotukuzwa haikuwa na utukufu hivi, kwa sababu ya utukufu uzidio sana.


Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita, tazama! Yamekuwa mapya.


Usiwaogope; kumbuka sana BWANA, Mungu wako, alivyomfanya Farao na Misri yote;


Nawe utaikumbuka njia ile yote BWANA, Mungu wako aliyokuongoza miaka hii arubaini katika jangwa, ili akunyenyekeze, kukujaribu kuyajua yaliyo moyoni mwako, kwamba utashika amri zake, au sivyo.