Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 9:5 - Swahili Revised Union Version

Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa sikukuu teule, na katika siku ya karamu ya BWANA?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtafanya nini katika sikukuu ile iliyopangwa, au katika karamu ya Mwenyezi-Mungu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtafanya nini katika sikukuu ile iliyopangwa, au katika karamu ya Mwenyezi-Mungu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtafanya nini katika sikukuu ile iliyopangwa, au katika karamu ya Mwenyezi-Mungu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Mwenyezi Mungu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za bwana?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa sikukuu teule, na katika siku ya karamu ya BWANA?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 9:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi mtafanya nini siku ya kujiliwa, na wakati wa uangamivu, utakaokuja kutoka mbali sana? Je! Mtamkimbilia nani mpate msaada? Na utukufu wenu mtauacha wapi?


Manabii wanatabiri uongo, na makuhani wanatawala kwa msaada wa hao; na watu wangu wanapenda mambo yawe hivyo. Nanyi mtafanya nini mwisho wake?


Tena nitaikomesha furaha yake yote, na sikukuu zake, na siku zake za mwandamo wa mwezi, na sabato zake, na makusanyiko yake yote yaliyoamriwa.


Jikazeni mkaomboleze, enyi makuhani; Pigeni yowe, enyi wahudumu wa madhabahu; Njooni mlale usiku kucha katika magunia, Enyi wahudumu wa Mungu wangu; Kwa kuwa sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji Zimezuiwa katika nyumba ya Mungu wenu.