Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hosea 13:12 - Swahili Revised Union Version

Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Uovu wa Efraimu uko umeandikwa, dhambi yake imehifadhiwa ghalani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kosa la Efraimu limehifadhiwa, dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hosea 13:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kosa langu limetiwa mhuri mfukoni, Nawe waufunga uovu wangu.


Mwasema, Mungu huwawekea watoto wa mtu huo uovu wake. Na amlipe mwenyewe, ili apate kuujua.


Maana ujapojiosha kwa magadi, na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu, asema Bwana MUNGU.


Bali kwa kadiri ya ugumu wako, na kwa moyo wako usio na toba, wajiwekea akiba ya hasira kwa siku ile ya hasira na ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu,