Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 36:11 - Swahili Revised Union Version

kwa kuwa Mala, na Tirza, na Hogla, na Milka, na Nuhu, binti za Selofehadi waliolewa na wanaume, wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote: Mala, Tirza, Hogla, Milka na Noa wakaolewa na binamu zao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa kuwa Mala, na Tirza, na Hogla, na Milka, na Nuhu, binti za Selofehadi waliolewa na wanaume, wana wa ndugu za baba yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 36:11
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na Selofehadi mwana wa Heferi hakuwa na watoto wa kiume, isipokuwa wa kike; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya, Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.


Wakati huo wakakaribia hao binti za Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, wa jamaa za Manase mwana wa Yusufu; na majina ya hao binti za Selofehadi ni haya; Mala, na Nuhu, na Hogla, na Milka, na Tirza.


Basi hao binti za Selofehadi wakafanya kama BWANA alivyomwagiza Musa;


Waliolewa katika jamaa za wana wa Manase, mwana wa Yusufu, na urithi wao ukakaa katika kabila la jamaa ya baba yao.