Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 28:18 - Swahili Revised Union Version

Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika siku ya kwanza kutakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo hamtafanya kazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ya kwanza patakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 28:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yoyote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.


Na siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi.


Tena katika siku ya malimbuko, hapo mtakapomsogezea BWANA sadaka ya unga mpya katika sikukuu yenu ya majuma mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi;