Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 23:25 - Swahili Revised Union Version

Balaki akamwambia Balaamu, Basi usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndipo Balaki akamwambia Balaamu, “Basi, usiwalaani wala usiwabariki kabisa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndipo Balaki akamwambia Balaamu, “Basi, usiwalaani wala usiwabariki kabisa!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndipo Balaki akamwambia Balaamu, “Basi, usiwalaani wala usiwabariki kabisa!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Balaki akamwambia Balaamu, Basi usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 23:25
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tazama, watu hawa wanaondoka kama simba jike, Na kama simba anajiinua nafsi yake, Hatalala hadi atakapokula mawindo, Na kunywa damu yao waliouawa.


Lakini Balaamu akajibu akamwambia Balaki, Je! Sikukuambia ya kwamba, Kila neno BWANA atakalolisema sina budi kulitenda?