Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Hesabu 19:1 - Swahili Revised Union Version

BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu aliendelea kuwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu aliendelea kuwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu aliendelea kuwaambia Mose na Aroni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Musa na Haruni:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Musa na Haruni:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Hesabu 19:1
2 Marejeleo ya Msalaba  

Nanyi hamtachukua dhambi kwa ajili yake, hapo mtakapokwisha kuinua humo hayo mema yake; lakini msivitie unajisi vile vitu vitakatifu vya wana wa Israeli, ili msife.


Hii ndiyo amri ya sheria BWANA aliyoagiza, akisema, Waambie wana wa Israeli wakuletee ng'ombe jike mwekundu asiye na doa, mkamilifu, ambaye hajatiwa nira bado;