Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 4:22 - Swahili Revised Union Version

Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Tena, angalieni sana msichelewe kufanya hivyo, nisije nikapata hasara.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena jihadharini, msilegee katika jambo hili; kwa nini madhara yazidi, na wafalme wapate hasara?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 4:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, ijulikane kwa mfalme, ya kuwa mji huu ukijengwa, na kuta zake zikimalizika, hawatatoa kodi, wala ada, wala ushuru, na mwisho wake wafalme watapata hasara.


Sasa toeni amri kuwakomesha watu hawa kazi yao, mji huu usijengwe, hadi nitakapotoa amri.


Kisha nakala ya barua hiyo ya mfalme Artashasta iliposomwa mbele ya Rehumu, mtawala na Shimshai, mwandishi, na wenzao, wakaenda Yerusalemu upesi, kwa Wayahudi, wakawakomesha kwa nguvu na kwa kuwashurutisha.


na juu yao akaweka wakubwa watatu, na Danieli alikuwa mmoja wao; ili wakuu hawa watoe hesabu kwao, mfalme asipate hasara.


Basi Danieli huyo alipata sifa kuliko wakubwa na watawala, kwa kuwa roho bora ilikuwa ndani yake; naye mfalme akaazimu kumweka juu ya ufalme wote.