Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 4:18 - Swahili Revised Union Version

Ule barua mliotutumia umesomwa wazi mbele yangu, nami nikaielewa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Barua mliyonitumia imetafsiriwa na kusomwa mbele yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ule waraka mliotutumia umesomwa wazi mbele yangu, nami nikauelewa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 4:18
3 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo mfalme akatuma majibu; Kwa Rehumu, mtawala, na Shimshai, mwandishi, na wenzao wengine waliokaa katika Samaria, na penginepo ng'ambo ya Mto, Salamu; na kadhalika.


Nikatoa amri, na watu wametafuta habari; ikaonekana ya kuwa mji huu zamani umewaasi wafalme, na ya kuwa uasi na fitina zimefanyika ndani yake.


Nao wakasoma katika kitabu, katika Torati ya Mungu, kwa sauti ya kusikika; wakaeleza maana yake, hata wakayafahamu yaliyosomwa.