Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:34 - Swahili Revised Union Version

Watu wa Yeriko, mia tatu arubaini na watano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa mji wa Yeriko: 345;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa mji wa Yeriko: 345;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa mji wa Yeriko: 345;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wazao wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano (345);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Yeriko, mia tatu arobaini na watano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:34
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku zake, Hieli Mbetheli akajenga Yeriko; akatia misingi yake kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, na kuyaweka malango yake kwa kufiwa na mwana wake mdogo Segubu; sawasawa na neno la BWANA alilolinena kwa Yoshua mwana wa Nuni.


Wakaondoka wale watu waliotajwa majina yao, wakawatwaa wafungwa, wakawavika kwa zile nyara wale wote waliokuwa uchi, wakawapa mavazi na viatu, wakawalisha, wakawanywesha, wakawatia mafuta, wakawapandisha waliokuwa dhaifu miongoni mwao juu ya punda wakawaleta Yeriko, mji wa mitende, kwa ndugu zao; kisha wakarudi Samaria.


Watu wa Lodi, na Hadidi, na Ono, mia saba ishirini na watano.


Watu wa Senaa, elfu tatu mia sita na thelathini.


Sehemu iliyofuata ilijengwa na watu wa Yeriko. Na baada yao Zakuri mwana wa Imri akajenga.


Wana wa Yeriko, mia tatu arubaini na watano.