Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:23 - Swahili Revised Union Version

Watu wa Anathothi, mia moja ishirini na wanane.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa mji wa Anathothi: 128;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa mji wa Anathothi: 128;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa mji wa Anathothi: 128;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu wa Anathothi, watu mia moja ishirini na nane (128);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Anathothi, mia moja ishirini na wanane.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa Netofa, hamsini na sita.


Watu wa Beth-Azmawethi, arubaini na wawili.


Watu wa Anathothi, mia moja ishirini na wanane.


Piga kelele sana, Ee binti Galimu; sikiliza, Ee Laisha; ole wako, maskini Anathothi!


Maneno ya Yeremia, mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi, katika nchi ya Benyamini;


Basi, kwa hiyo, BWANA asema hivi, juu ya watu wa Anathothi, watakao uhai wako, wakisema, Hutafanya unabii kwa jina la BWANA, usije ukafa kwa mkono wetu.


na Anathothi pamoja na mbuga zake za malisho, na Almoni pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.