Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Ezra 2:22 - Swahili Revised Union Version

Watu wa Netofa, hamsini na sita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

wa mji wa Netofa: 56;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

wa mji wa Netofa: 56;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

wa mji wa Netofa: 56;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

watu wa Netofa, hamsini na sita (56);

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wa Netofa, hamsini na sita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Ezra 2:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

na Salmoni, Mwahohi, na Maharai, Mnetofathi;


na Heledi, mwana wa Baana, Mnetofathi, na Itai, mwana wa Ribai, wa Gibea wa wana wa Benyamini;


Na wana wa Salma; Bethlehemu, na Wanetofathi, Atroth-beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi, na Wazori.


Watu wa Bethlehemu, mia moja ishirini na watatu.


Watu wa Anathothi, mia moja ishirini na wanane.


Watu wa Bethlehemu na Netofa, mia moja na themanini na wanane.


ndipo wakamwendea Gedalia huko Mizpa; nao ni hawa, Ishmaeli, mwana wa Nethania, na Yohana na Yonathani, wana wa Karea, na Seraya, mwana wa Tanhumethi, na wana wa Efai, Mnetofa, na Yezania, mwana wa Mmaaka, wao na watu wao.