Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 4:12 - Swahili Revised Union Version

Basi wakamwambia Mordekai maneno ya Esta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mordekai alipopata ujumbe wa Esta,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mordekai alipopata ujumbe wa Esta,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mordekai alipopata ujumbe wa Esta,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati Mordekai aliarifiwa maneno ya Esta,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati Mordekai aliarifiwa maneno ya Esta,

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Walipomsimulia Mordekai haya maneno ya Esteri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 4:12
2 Marejeleo ya Msalaba  

Watumishi wote wa mfalme wanajua sana, hata na watu wa majimbo ya mfalme, ya kwamba mtu yeyote, akiwa mwanamume au mwanamke, atakayemjia mfalme katika ua wa ndani, wala hakuitwa, kuna sheria moja kwake, ni kwamba auawe; isipokuwa yeye ambaye mfalme atamnyoshea fimbo ya dhahabu, ili aishi; wala mimi sikuitwa niingie kwa mfalme yapata siku thelathini.


Naye Mordekai akawaagiza wampelekee Esta jibu la kusema, Wewe usijidhanie kuwa wewe utaokoka nyumbani mwa mfalme, zaidi ya Wayahudi wote.