Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Esta 4:10 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Esta akasema na Hathaki, akamtuma tena kwa Mordekai, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye Esta akamwambia Hathaki arudi akamwambie Mordekai,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye Esta akamwambia Hathaki arudi akamwambie Mordekai,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye Esta akamwambia Hathaki arudi akamwambie Mordekai,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Esta akamwamuru Hathaki amweleze Mordekai,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Esta akamwamuru Hathaki amweleze Mordekai,

Tazama sura

Swahili Roehl Bible 1937

Esteri naye akamwambia Hataki na kumwagiza, amwambie Mordekai:

Tazama sura
Tafsiri zingine



Esta 4:10
3 Marejeleo ya Msalaba  

Watumishi wote wa mfalme wanajua sana, hata na watu wa majimbo ya mfalme, ya kwamba mtu yeyote, akiwa mwanamume au mwanamke, atakayemjia mfalme katika ua wa ndani, wala hakuitwa, kuna sheria moja kwake, ni kwamba auawe; isipokuwa yeye ambaye mfalme atamnyoshea fimbo ya dhahabu, ili aishi; wala mimi sikuitwa niingie kwa mfalme yapata siku thelathini.


Kisha Esta akamwita Hathaki, towashi mmojawapo wa mfalme, aliyemwagiza amhudumue Esta, akamtuma kwa Mordekai, ili ajue mambo hayo, na maana yake ni nini.


Basi Hathaki akaja, akamwambia Esta maneno ya Mordekai.