Tafadhali utujaribu sisi watumishi wako muda wa siku kumi; na watupe mboga za majani tule, na maji tunywe.
Danieli 1:13 - Swahili Revised Union Version Kisha nyuso zetu zitazamwe mbele yako, na nyuso za wale vijana wanaokula chakula cha mfalme; ukatutendee sisi watumishi wako kadiri ya utakavyoona. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kisha, tulinganishe sisi na hao vijana wengine wanaokula chakula cha mfalme, halafu utoe uamuzi wako kulingana na jinsi utakavyoona.” Biblia Habari Njema - BHND Kisha, tulinganishe sisi na hao vijana wengine wanaokula chakula cha mfalme, halafu utoe uamuzi wako kulingana na jinsi utakavyoona.” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kisha, tulinganishe sisi na hao vijana wengine wanaokula chakula cha mfalme, halafu utoe uamuzi wako kulingana na jinsi utakavyoona.” Neno: Bibilia Takatifu Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.” Neno: Maandiko Matakatifu Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.” Swahili Roehl Bible 1937 Kisha tutazamwe mbele yako, tulivyo, nao vijana wanaokula vilaji vya urembo vya mfalme watazamwe nao, walivyo. Kama utakavyoona, basi, ndivyo, utakavyotufanyizia sisi watumwa wako. |
Tafadhali utujaribu sisi watumishi wako muda wa siku kumi; na watupe mboga za majani tule, na maji tunywe.