Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Amosi 6:9 - Swahili Revised Union Version

Hata itakuwa, wakisalia wanaume kumi katika nyumba moja, watakufa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama wakibaki watu kumi katika nyumba moja, wote watakufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama wakibaki watu kumi katika nyumba moja, wote watakufa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama wakibaki watu kumi katika nyumba moja, wote watakufa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hata itakuwa, wakisalia wanaume kumi katika nyumba moja, watakufa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Amosi 6:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Hamani akawasimulia habari za fahari ya mali zake, na wingi wa watoto wake, na pia mambo yote ambayo mfalme amemfanikisha kwayo, na jinsi alivyompandisha cheo juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.


wana kumi wa Hamani mwana wa Hamedatha, adui ya Wayahudi; lakini juu ya nyara hawakuweka mikono.


mara, tazama, upepo wenye nguvu ukatoka pande za jangwani, ukaipiga hiyo nyumba pembe zake nne, nayo ikawaangukia hao vijana, nao wamekufa; na mimi peke yangu nimepona, mimi tu, kukuletea habari.


Kisha walizaliwa kwake watoto saba wa kiume, na binti watatu.


Mali ya nyumba yake yatanyakuliwa, Yatamwagika mbali katika siku ya ghadhabu zake.


Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Fanyeni tayari machinjo kwa watoto wake. Kwa sababu ya uovu wa baba zao; Wasije wakainuka na kuitamalaki nchi, Na kuujaza uso wa ulimwengu kwa miji.


Kwa maana mauti imepandia madirishani mwetu, imeingia majumbani mwetu; Ipate kuwakatilia mbali watoto walio nje, na vijana katika njia kuu.


Kwa kuwa Bwana MUNGU asema hivi; Mji uliotoka nje wenye watu elfu moja, utabakiziwa watu mia moja, na mji uliotoka wenye watu mia moja, utabakiziwa watu kumi, kwa nyumba ya Israeli.


Tena mtu wako, ambaye sitamtenga na madhabahu yangu, atakuwa mtu wa kukupofusha macho, na kukuhuzunisha moyo; tena wazao wote wa nyumba yako watakufa watakapokuwa watu wazima.