Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




2 Wakorintho 6:12 - Swahili Revised Union Version

Hamsongwi ndani yetu, bali mwasongwa katika mioyo yenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu nyinyi wenyewe, na si kwa upande wetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu kwetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hamsongwi ndani yetu, bali mwasongwa katika mioyo yenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



2 Wakorintho 6:12
9 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, yeye angekuongoza utoke katika msiba Hata mahali penye nafasi, ambapo hapana kizuizi; Na kilichowekwa mezani pako kingejaa mafuta.


Uendapo, hatua zako hazitadhiikika, Wala ukipiga mbio hutajikwaa.


Heri kuona kwa macho, Kuliko kutangatanga kwa tamaa. Hayo nayo ni ubatili, na kufukuza upepo.


Je! Litasemwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, Roho ya BWANA imepunguzwa? Je! Haya ni matendo yake? Je! Maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu?


Bali mlango ni mwembamba, na njia imebana iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Pande zote twateseka, bali hatusongwi; twaona shaka, bali hatukati tamaa;


Tupeni nafasi mioyoni mwenu. Hatukumdhulumu mtu yeyote, wala kumharibu mtu, wala kumkosea mtu.


Maana Mungu ni shahidi wangu, jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote katika moyo wake Kristo Yesu.


Lakini mtu akiwa na riziki ya dunia, kisha akamwona ndugu yake ni mhitaji, akamzuilia huruma zake, je! Upendo wa Mungu wakaaje ndani yake huyo?